Alhamisi, 19 Machi 2015

Sserunkuma avunja mkataba simba

Mbali na hilo, pia uongozi wa Simba
unaendelea kufanya mabadiliko katika nafasi
mbalimbali za viongozi na juzi Jumanne
ulitangaza kumtoa Humphrey Nyasio katika
nafasi ya Ofisa Habari na badala yake
amechukuliwa na Haji Manara, huku ikielezwa
kuwa wapo mbioni kumbadili Katibu Mkuu
wake, Stephen Ally dhidi ya Hamis Kisiwa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni