Ndege ya abiria inayomilikiwa na shirika la ndege la Germanwing Airbus A320 imeanguka katika milima ya Alps nchini ufaransa.
Ndege hiyo ulikua imewabeba abiria 142 na wahudumu 6 ikitokea Barcelona Hispania kuelekea Duesseldorf
Ndege hiyo inayomilikiwa na shirika la ndege la la Ujerumani Lufthasa chini ya nembo ya Germanwings imeripotiwa kuanguka karibu na mji wa Digne
Jumanne, 24 Machi 2015
Breaking News:Ajali nyengine ya ndege Ufaransa
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni