Jumatano, 11 Machi 2015

Ajali ya basi yaua Iringa

Watu wengi wanahofiwa kufa katika ajali ya Basi linalosemekana kuangukiwa na Kontena. katika eneo la Mafinga, Mkoani Iringa Nyanda za juu kusini mwa Tanzania, utaletewa taarifa zaidi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni