Jumanne, 17 Machi 2015

Mwanasheria wa daktari wa osama auwawa

Aliyewahi kuwa mwanasheria wa Daktari wa Osama
bin Laden, Samiullah Afridi ameuawa kwa kupigwa
risasi huko Pakistan.
Mtu aliyekuwa na silaha alimmshambulia
Samiullah Afridi ambaye alikuwa ndani ya
gari lake akiendesha eneo la Peshawar.
Samiullah Afridi alikuwa mmoja wa
wanasheria wa Dr.Shakeel Afridi ambaye ndiye
aliyefichua siri kwa Marekani juu ya wapi
alikokuwa Ossama Bin Laden ambaye alikuwa
mafichoni huko Pakistani kwa takribani miaka
minne.
Dr Afridi wakati anauawa alikuwa katima
matembezi alifungwa kifungo cha muda
mrefu.Kundi la Talbani limekiri kutekeleza
mauaji hayo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni