Jumanne, 17 Machi 2015

Helikopita ya UN yaanguka mali

Helikopita ya umoja wa mataifa imeanguka
Kaskazini mwa Mali na kuua watu wawili raia
ambao ni wafanyakazi wa ndege hiyo.
Ndege hiyo ni mali ya vikosi vya walinda
amani nchini Mali MINUSMA.Hata hivyo
inadaiwa kuwa UN ina askari wapatao 11,000
kutoka mataifa mbalimbali.
Hata hivyo kwa mjibu wa shirka hilo la umoja
wa mataifa UN,hatua hiyo dhidi ya
wapiganaji hao nchini Mali.Awali mwezi huu
roketi za vikosi vya umona wa mataifa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni