Kampeni kubwa ya ZamuYako2015 yenye lengo
la kuhamashisha vijana kushiriki katika zoezi
kujiandikisha kupiga kura, imeendelea kupamba
moto ikiendelea kuungwa mkono na wasanii
mbalimbali.
Safari hii mwanadada Shilole akiongea na
vijana hususani wale kutoka Tabora
kuwahamasisha kuwa wao ndio nguvu kazi ya
taifa na wanapaswa kupiga kura.
Alhamisi, 19 Machi 2015
Shilole ahamasisha vijana kujiandikisha na Bvr
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni