Mshirikishe mwenzako
Mkewe Kanye West Kim Kardashian ambaye
picha zake za utupu ziliwekwa katika
mtandao wa Twitter
Msanii wa muziki Kanye West ameweka msururu
wa picha za utupu wa mkewe Kim Kardashian
West katika mtandao wake wa Twitter.
Nyota huyo wa muziki wa rap aliwagawia
picha hizo takriban watu millioni
11.7,wanaomfuata katika mtandao wa twitter
pamoja na ulimwengu mzima.
Picha hizo zinamuonyesha mkewe Kim
kardhashian akijiziba uchi wake na mikono.
Katika ujumbe wake msanii huyo aliyeimbia
wimbo kwa jina ''Yeezus'' alijigamba kuhusu
hatua zilizopigwa na mkewe katika Runinga
ya Reality TV na kusema ana bahati kuwa
naye.
Kim Kardashian
Katika ujumbe mmoja ambao uliwekwa na picha
ya uchi ya Kardashian akijiziba kifua chake
na mikono,Kanye West aliandika ''NINA
BAHATI''.
Ujumbe huo ulifuatiwa na mwengine pamoja na
picha ya Kim ukimpongeza Kardashian kwa
kupata watu millioni 30 katika mtandao wake
wa kijamii.
Jumatano, 18 Machi 2015
Kanye west amuanika mkewe mtandaoni
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni