AirwaysShirika la ndege la Kenya, Kenya Airways
leo limeanza rasmi kupunguza safiri zake katika
uwanja wa ndege wa Dar es Salaam kufuatia agizo
la mamlaka ya anga ya Tanzania kuamuru shirika
hilo kupunguza safari zake kutoka 42 kwa wiki
hadi 14.
Kenya Airways
Serikali ya Tanzania inasema huo ndio
mkataba wa tangu awali na kulaumu mamlaka
ya anga nchini Kenya kwa kushindwa kuafikia
maelewano na mamlaka ya Tanzania kuhusu
jambo hilo.
Tayari baadhi ya wasafiri wanaotumia ndege
za shirika hilo wameanza kuathirika kufuatia
shirika hilo kufuta baadhi ya safari kutoka
Dar es Salaam
Ijumaa, 20 Machi 2015
Kenya airways yapunguza safari zake Dar
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni