Sauti za Busara ni zaidi ya tamasha
>Siku nne zimesalia kabla ya siku nne za kuandika historia nyingine Visiwani Zanzibar kupitia onyesho kubwa la sanaa na muziki la kimataifa linalotambulika kwa jina la Sauti za Busara ambalo huwakutanisha wasanii mbalimbali kutoka Tanzania na nje ya Tanzania.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni