Ijumaa, 7 Februari 2014

RAISI WA TFF AFIKISHA SIKU 100 ZA UONGOZI WAKE

Rais wa shirikisho la soka nchini TFF Gamal Malinzi amesema siku miamoja za uongozi wake katika shirikisho hilo amekutana na changamoto nyingi ikiwa ni pamoja kukuta madeni mengi pamoja na mikataba isiyokuwa na tija.
Photo: Rais wa shirikisho la soka nchini TFF Gamal Malinzi amesema siku miamoja za uongozi wake katika  shirikisho hilo amekutana na changamoto nyingi ikiwa ni pamoja kukuta madeni mengi pamoja na mikataba isiyokuwa na tija.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni