Ikulu imetaja majina ya wajumbe 201 watakaoingia kwenye bunge la katiba ambapo kati ya wajumbe 201 wajumbe 21 ni wazee kuanzia miaka 65.
Baadhi ya majina yaliyoingia ni Prof. Ibrahim Lipumba, prof. Abdalah Safari , Paul kimiti, Kingunge Ngombale Mwiru, Peter Kuga mziray, Christoper Mtikila, John Lifa Chipaka, Emmanuel Makaidi ,Godfrey Simbeye, Kajubi Mukajaga, Paul Makonda na Julius Itatiro.
Aki...tangaza majina hayo kwa niaba ya rais kaimu katibu mkuu kiongozi Dr. Florence Turuka amesema wajumbe walitakiwa 201 ingawa majina yaliyopendekezwa yalikuwa 3,936.
Wajumbe hao wataungana na wabunge wa bunge la jamhuri na wawakilishi kutoka baraza la Zanzibar katika kujadili rasimu ya pili ya katiba na kuifanyika marekebisho kabla ya kuingia hatua ya kura ya maoni.
Baadhi ya majina yaliyoingia ni Prof. Ibrahim Lipumba, prof. Abdalah Safari , Paul kimiti, Kingunge Ngombale Mwiru, Peter Kuga mziray, Christoper Mtikila, John Lifa Chipaka, Emmanuel Makaidi ,Godfrey Simbeye, Kajubi Mukajaga, Paul Makonda na Julius Itatiro.
Aki...tangaza majina hayo kwa niaba ya rais kaimu katibu mkuu kiongozi Dr. Florence Turuka amesema wajumbe walitakiwa 201 ingawa majina yaliyopendekezwa yalikuwa 3,936.
Wajumbe hao wataungana na wabunge wa bunge la jamhuri na wawakilishi kutoka baraza la Zanzibar katika kujadili rasimu ya pili ya katiba na kuifanyika marekebisho kabla ya kuingia hatua ya kura ya maoni.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni